Swali: Mimi ninamuamrisha mke wangu kutotoka nyumbani lakini hanitii, bali anatoka nyumbani bila ya idhini yangu. Je, katika Shari´ah kuna mwenendo maalum na mke kama huu?
Jibu: Ndio. Amlazimishe kutotoka. Amlazimishe kwa kuwa ni mke wake. Haijuzu kwake kutoka bila ya idhini yake. Ni haramu kwake. Hii ni aina ya uasi (Nushuuz). Amtie adabu mpaka ashike adabu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13463
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket