Swali: al-Bukhaariy amesema: “Mlango kuhusu mwenye kuchukua nguo nyingine safi mbali na ile nguo ya hedhi.”
Jibu: Hapana vibaya. Ni kwa ajili ya usafi na utunzaji. Achukue nguo nyingine safi ili asipatwe na damu.
Swali: Haisemwi kuwa ni Sunnah kwa sababu ya kumkubalia kwake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Inawezekana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23551/حكم-اتخاذ-ثياب-للحيض-غير-ثياب-الطهر
- Imechapishwa: 10/02/2024
Swali: al-Bukhaariy amesema: “Mlango kuhusu mwenye kuchukua nguo nyingine safi mbali na ile nguo ya hedhi.”
Jibu: Hapana vibaya. Ni kwa ajili ya usafi na utunzaji. Achukue nguo nyingine safi ili asipatwe na damu.
Swali: Haisemwi kuwa ni Sunnah kwa sababu ya kumkubalia kwake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Inawezekana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23551/حكم-اتخاذ-ثياب-للحيض-غير-ثياب-الطهر
Imechapishwa: 10/02/2024
https://firqatunnajia.com/nguo-safi-nyingine-mbali-na-ile-ya-hedhi/