Swali: Sisi huku Urusi ng´ombe wanapelekwa malishoni karibu nusu mwaka na nusu nyingine ya mwaka iliobaki tunawalisha. Je, wanatolewa zakaah?
Jibu: Hapana. Kama hawapelekwi malishoni mwaka mzima au zaidi ya mwaka, basi hawatolewi zakaah. Nusu ya mwaka au chini ya hapo hawatolewi zakaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 24/04/2021
Swali: Sisi huku Urusi ng´ombe wanapelekwa malishoni karibu nusu mwaka na nusu nyingine ya mwaka iliobaki tunawalisha. Je, wanatolewa zakaah?
Jibu: Hapana. Kama hawapelekwi malishoni mwaka mzima au zaidi ya mwaka, basi hawatolewi zakaah. Nusu ya mwaka au chini ya hapo hawatolewi zakaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 24/04/2021
https://firqatunnajia.com/ngombe-wa-kirusi/