Swali: Ikiwa mtu anaweza kukemea maovu kwa moyo wake na hawezi kwa kutumia mkono wake na mdomo wake anaingia ndani ya yale waliyonyamazia maovu na adhabu inamkusanya au anakuwa miongoni mwa watakaookolewa na watengenezaji?
Jibu: Kuna ngazi mbalimbali za kukemea maovu, kama itakavyokuja huko mbele. Kuna wanaoweza kukemea kwa kutumia mkono au kwa mdomo. Vinginevyo angalau kwa uchache ni kwa moyo wake, hili hakuna asiyeliweza. Kukemea kwa moyo hakuna asiyeweza. Kuna ngazi mbalimbali za kukemea maovu, kama itakavyokuja huko mbele – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
- Imechapishwa: 02/02/2024
Swali: Ikiwa mtu anaweza kukemea maovu kwa moyo wake na hawezi kwa kutumia mkono wake na mdomo wake anaingia ndani ya yale waliyonyamazia maovu na adhabu inamkusanya au anakuwa miongoni mwa watakaookolewa na watengenezaji?
Jibu: Kuna ngazi mbalimbali za kukemea maovu, kama itakavyokuja huko mbele. Kuna wanaoweza kukemea kwa kutumia mkono au kwa mdomo. Vinginevyo angalau kwa uchache ni kwa moyo wake, hili hakuna asiyeliweza. Kukemea kwa moyo hakuna asiyeweza. Kuna ngazi mbalimbali za kukemea maovu, kama itakavyokuja huko mbele – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
Imechapishwa: 02/02/2024
https://firqatunnajia.com/ngazi-mbalimbali-za-kukemea-maovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)