Swali: Katika “Adab-ul-Mufrad” kumetajwa maneno yenye maana ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipita kati ya watu na baina yako alikuwepo mtenda dhambi mmoja ambapo akawapuuza na hakuwasalimia. Je, hapa kuna dalili ya kutomsalimia mtenda dhambi ikiwa anadhihirisha maasi?
Jibu: Ndio. Huku ni katika kuamrisha mema na kukataza maovu. Anayefanya maasi hadharani anakatwa. Katika kumsusa ni kutomtolea salamu ili arudi nyuma.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
- Imechapishwa: 02/02/2024
Swali: Katika “Adab-ul-Mufrad” kumetajwa maneno yenye maana ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipita kati ya watu na baina yako alikuwepo mtenda dhambi mmoja ambapo akawapuuza na hakuwasalimia. Je, hapa kuna dalili ya kutomsalimia mtenda dhambi ikiwa anadhihirisha maasi?
Jibu: Ndio. Huku ni katika kuamrisha mema na kukataza maovu. Anayefanya maasi hadharani anakatwa. Katika kumsusa ni kutomtolea salamu ili arudi nyuma.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (02)
Imechapishwa: 02/02/2024
https://firqatunnajia.com/kumsusa-mtenda-dhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)