Swali: Nina wanyamahoa wengi ambapo humwambia mteja aende kwenye kizizi na amchague amtakaye kwa kiwango maalum. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hapana, ni lazima ulengeshe bei. Muulize anayemtaka na umwambie bei yake. Kumwagiza pasi na kulengesha bei haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 14/04/2021
Swali: Nina wanyamahoa wengi ambapo humwambia mteja aende kwenye kizizi na amchague amtakaye kwa kiwango maalum. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hapana, ni lazima ulengeshe bei. Muulize anayemtaka na umwambie bei yake. Kumwagiza pasi na kulengesha bei haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 14/04/2021
https://firqatunnajia.com/nenda-kwenye-zizi-na-umchague-mnyama-unayemtaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)