Swali: Nikimshuku mtu kuwa anataka kununua bidhaa kutoka kwangu ili aitumie katika jambo la haramu. Lakini nisiwe na uhakika juu ya jambo hilo, lakini huo ndio udhahiri wake.
Jibu: Usimuuzie. Usimuuzie angalau kwa uchache kuepuka mambo ya shubuha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 14/04/2021
Swali: Nikimshuku mtu kuwa anataka kununua bidhaa kutoka kwangu ili aitumie katika jambo la haramu. Lakini nisiwe na uhakika juu ya jambo hilo, lakini huo ndio udhahiri wake.
Jibu: Usimuuzie. Usimuuzie angalau kwa uchache kuepuka mambo ya shubuha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 14/04/2021
https://firqatunnajia.com/anamshuku-mteja-kuwa-atatumia-bidhaa-katika-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)