Swali: Nina ndugu fakiri nje ya mji huu. Ameniomba kiwango cha pesa ili anunue ardhi alime miraa. Hivyo nikawa nimemkatalia kumtumia pesa. Je, nimefanya sahihi?
Jibu: Ndio. Lau ungelimtumia pesa ili anunue ardhi apande mirungi ungelikuwa umemsaidia katika madhambi. Mirungi ni haramu. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ
“Saidianeni katika wema na taqwa, na wala msishirikiane katika dhambi na uadui.” (05:02)
Mirungi na sigara ni haramu kwa kuwa vinaua. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kila chenye kulevya na kuua. Miraa ni mbaya zaidi kuliko sigara. Inaufanya moyo kupumzika. Umefanya jamb la sawa pindi ulipokataa kumuazima pesa ndugu yako anunue ardhi ambayo anafikiria kupanda miraa. Ni kwa nini asipande tende, mizabibu na vitu vingine ambavyo ni halali?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Nina ndugu fakiri nje ya mji huu. Ameniomba kiwango cha pesa ili anunue ardhi alime miraa. Hivyo nikawa nimemkatalia kumtumia pesa. Je, nimefanya sahihi?
Jibu: Ndio. Lau ungelimtumia pesa ili anunue ardhi apande mirungi ungelikuwa umemsaidia katika madhambi. Mirungi ni haramu. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ
“Saidianeni katika wema na taqwa, na wala msishirikiane katika dhambi na uadui.” (05:02)
Mirungi na sigara ni haramu kwa kuwa vinaua. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kila chenye kulevya na kuua. Miraa ni mbaya zaidi kuliko sigara. Inaufanya moyo kupumzika. Umefanya jamb la sawa pindi ulipokataa kumuazima pesa ndugu yako anunue ardhi ambayo anafikiria kupanda miraa. Ni kwa nini asipande tende, mizabibu na vitu vingine ambavyo ni halali?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/ndugu-masikini-anataka-kupanda-miraa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)