Swali: Je, ndoa inaharibika mwanamke akiolewa bila ya walii?
Jibu: Ndio, ikiwa walii yupo na hakuombwa idhini na hakumuwakilisha mtu. Katika hali hiyo ndoa inaharibika:
“Hakuna ndoa isipokuwa kwa walii.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23832/هل-يبطل-زواج-المراة-بدون-ولي
- Imechapishwa: 16/05/2024
Swali: Je, ndoa inaharibika mwanamke akiolewa bila ya walii?
Jibu: Ndio, ikiwa walii yupo na hakuombwa idhini na hakumuwakilisha mtu. Katika hali hiyo ndoa inaharibika:
“Hakuna ndoa isipokuwa kwa walii.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23832/هل-يبطل-زواج-المراة-بدون-ولي
Imechapishwa: 16/05/2024
https://firqatunnajia.com/ndoa-bila-walii-inaharibika/