Swali: Ambaye yuko na kitabu “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” afaidike nacho au akichome moto?
Jibu: Sijakizingatia sana. Ndani yake kuna baadhi ya makosa. Kama ni mwanafunzi anaweza kukihifadhi na akafaidika nacho. Lakini kama sio katika wanazuoni atafute vitabu vya Salaf kukiwemo vitabu vya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah, vitabu vya Ibn-ul-Qayyim, vitabu vya Hadiyth na vitabu vya maimamu wanaotambulika. Kwa sababu ndani ya “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” kuna makosa. Mwanafunzi mwenye kufahamu anayatambua makosa. Ni vitabu vichache visivyokuwa na makosa isipokuwa Kitabu cha Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23425/حكم-اقتناء-كتاب-في-ظلال-القران
- Imechapishwa: 17/01/2024
Swali: Ambaye yuko na kitabu “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” afaidike nacho au akichome moto?
Jibu: Sijakizingatia sana. Ndani yake kuna baadhi ya makosa. Kama ni mwanafunzi anaweza kukihifadhi na akafaidika nacho. Lakini kama sio katika wanazuoni atafute vitabu vya Salaf kukiwemo vitabu vya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah, vitabu vya Ibn-ul-Qayyim, vitabu vya Hadiyth na vitabu vya maimamu wanaotambulika. Kwa sababu ndani ya “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” kuna makosa. Mwanafunzi mwenye kufahamu anayatambua makosa. Ni vitabu vichache visivyokuwa na makosa isipokuwa Kitabu cha Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23425/حكم-اقتناء-كتاب-في-ظلال-القران
Imechapishwa: 17/01/2024
https://firqatunnajia.com/ndani-ya-fiy-dhwilaal-il-qur-aan-kuna-makosa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)