45 – Muhammad bin Abiy Bakr al-Maqdamiy ametuhadithia: ´Umar bin Haaruun ametuhadithia, kutoka kwa Muusa bin ´Ubaydah, kutoka kwa Muhammad bin Thaabit, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
صلوا علي أنبياء الله ورسله فإن الله بعثهم كما بعثني
”Waswalieni Manabii na Mitume wa Allaah. Kwani hakika Allaah amewatuma kama alivyonituma mimi.”[1]
Allaah amsifu na amsalimishe yeye na wao.
[1] Cheni ya wapokezi wake ni nyonge sana. ´Umar bin Haaruun al-Balkhiy ni mwenye kuachwa na mwalimu wake Muusa bin ´Ubaydah ima ni kama yeye au ni mnyonge zaidi.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 48
- Imechapishwa: 17/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
45 – Muhammad bin Abiy Bakr al-Maqdamiy ametuhadithia: ´Umar bin Haaruun ametuhadithia, kutoka kwa Muusa bin ´Ubaydah, kutoka kwa Muhammad bin Thaabit, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
صلوا علي أنبياء الله ورسله فإن الله بعثهم كما بعثني
”Waswalieni Manabii na Mitume wa Allaah. Kwani hakika Allaah amewatuma kama alivyonituma mimi.”[1]
Allaah amsifu na amsalimishe yeye na wao.
[1] Cheni ya wapokezi wake ni nyonge sana. ´Umar bin Haaruun al-Balkhiy ni mwenye kuachwa na mwalimu wake Muusa bin ´Ubaydah ima ni kama yeye au ni mnyonge zaidi.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 48
Imechapishwa: 17/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/45-hadiyth-waswalieni-manabii-na-mitume-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)