Swali: Je, maasi yote yanakuwa ni kufuru ndogo?
Jibu: Ni katika matendo ya kipindi kabla ya kuja Uislamu… yanakuwa ni madhambi na maasi. Hayaitwi kuwa ni ´kufuru` isipokuwa yale ambayo Shari´ah imekuja kuyaita kuwa ni kufuru. Yale ambayo Shari´ah imeyaita kuwa ni ´kufuru` nawe utayaita. Kwa mfano:
“Mambo mawili kwa watu ni kufuru; kutukaniana nasabu na kuomboleza juu ya maiti.”
na:
“Msirejee baada yangu kuwa makafiri wapotevu baadhi wakizikata shingo za wengine.”
Kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah kutokana na matamanio na rushwa yote hayo yanaitwa kuwa ni kufuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23426/هل-جميع-المعاصي-من-الكفر-الاصغر
- Imechapishwa: 17/01/2024
Swali: Je, maasi yote yanakuwa ni kufuru ndogo?
Jibu: Ni katika matendo ya kipindi kabla ya kuja Uislamu… yanakuwa ni madhambi na maasi. Hayaitwi kuwa ni ´kufuru` isipokuwa yale ambayo Shari´ah imekuja kuyaita kuwa ni kufuru. Yale ambayo Shari´ah imeyaita kuwa ni ´kufuru` nawe utayaita. Kwa mfano:
“Mambo mawili kwa watu ni kufuru; kutukaniana nasabu na kuomboleza juu ya maiti.”
na:
“Msirejee baada yangu kuwa makafiri wapotevu baadhi wakizikata shingo za wengine.”
Kuhukumu kinyume na yale aliyoteremsha Allaah kutokana na matamanio na rushwa yote hayo yanaitwa kuwa ni kufuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23426/هل-جميع-المعاصي-من-الكفر-الاصغر
Imechapishwa: 17/01/2024
https://firqatunnajia.com/je-maasi-yote-yanakuwa-ni-kufuru-ndogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)