Swali: Mimi nimeanza kutafuta elimu. Unaninasihi nini?
Jibu: Shikamana na wanachuoni. Soma chini ya wanachuoni kwenye masomo au Misikitini. Soma kwa wanachuoni waaminifu ambao wanajulikana kwa elimu yao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Swali: Mimi nimeanza kutafuta elimu. Unaninasihi nini?
Jibu: Shikamana na wanachuoni. Soma chini ya wanachuoni kwenye masomo au Misikitini. Soma kwa wanachuoni waaminifu ambao wanajulikana kwa elimu yao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
Imechapishwa: 27/06/2015
https://firqatunnajia.com/nasaha-kwa-mwanafunzi-mpya-shikamana-na-wanachuoni__trashed/