Swali: Nimesikia kuwa mwanamke analazimika kuyatolea zakaah mapambo yake ya dhahabu hata kama ni ya kujipamba. Yanatakiwa kuwa na uzani kaisi gani ili yatolewe zakaah na ni kipi kiasi chake?
Jibu: Maoni yenye nguvu ni kwamba mwanamke anatakiwa kuyatolea zakaah mapambo yake yakifikisha kile kiwango cha wajibu. Kiwango cha lazima ni gramu 85. Kama mwanamke anayo mapambo yasiyokuwa chini ya gramu 85 basi anatakiwa kuyatolea zakaah 2.5%. Kila mwaka anatakiwa kuhesabu thamani yake na kuyalipia 2.5%. Asizingatie ile bei ambayo ameyanunua, kwa sababu inaweza kupanda na pia inaweza kushuka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/133)
- Imechapishwa: 07/05/2021
Swali: Nimesikia kuwa mwanamke analazimika kuyatolea zakaah mapambo yake ya dhahabu hata kama ni ya kujipamba. Yanatakiwa kuwa na uzani kaisi gani ili yatolewe zakaah na ni kipi kiasi chake?
Jibu: Maoni yenye nguvu ni kwamba mwanamke anatakiwa kuyatolea zakaah mapambo yake yakifikisha kile kiwango cha wajibu. Kiwango cha lazima ni gramu 85. Kama mwanamke anayo mapambo yasiyokuwa chini ya gramu 85 basi anatakiwa kuyatolea zakaah 2.5%. Kila mwaka anatakiwa kuhesabu thamani yake na kuyalipia 2.5%. Asizingatie ile bei ambayo ameyanunua, kwa sababu inaweza kupanda na pia inaweza kushuka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/133)
Imechapishwa: 07/05/2021
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuyatolea-zakaah-mapambo-ya-dhahabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)