Swali: Vipi kuwatolea salamu wasichana wa ami au wasichana wa shangazi?
Jibu: Ni katika ndugu ambao unatakiwa kuwaunga, hata hivyo fanya hivo bila ya kupeana nao mkono wala kuwabusu. Wasalimie kwa maneno tu. Sambamba na hilo wajisitiri na usikae nao faragha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24201/ما-حكم-السلام-على-بنات-العم-والخالة
- Imechapishwa: 13/09/2024
Swali: Vipi kuwatolea salamu wasichana wa ami au wasichana wa shangazi?
Jibu: Ni katika ndugu ambao unatakiwa kuwaunga, hata hivyo fanya hivo bila ya kupeana nao mkono wala kuwabusu. Wasalimie kwa maneno tu. Sambamba na hilo wajisitiri na usikae nao faragha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24201/ما-حكم-السلام-على-بنات-العم-والخالة
Imechapishwa: 13/09/2024
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuwasalimia-mabinamu-zako-wasichana/