Swali: Vipi kuwatolea salamu wasichana wa ami au wasichana wa shangazi?

Jibu: Ni katika ndugu ambao unatakiwa kuwaunga, hata hivyo fanya hivo bila ya kupeana nao mkono wala kuwabusu. Wasalimie kwa maneno tu. Sambamba na hilo wajisitiri na usikae nao faragha.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24201/ما-حكم-السلام-على-بنات-العم-والخالة
  • Imechapishwa: 13/09/2024