Swali: Makatazo ya kutukana zama ni kwa sababu kunapingana na mipango na makadirio ya Allaah?
Jibu: Bora – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kutukana kisichostahiki kutukanywa. Hakina uendeshaji. Ni kutukana kisichostahiki kutukanywa. Kwa hiyo inamrejelea ambaye anaiongoza na kuiendesha (Subhaanahu wa Ta´ala). Ingawa kama inavyotambulika sivyo alivyokusudia mtukanaji. Hata hivyo ni utovu wa adabu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24209/الحكمة-من-النهي-عن-سب-الدهر
- Imechapishwa: 13/09/2024
Swali: Makatazo ya kutukana zama ni kwa sababu kunapingana na mipango na makadirio ya Allaah?
Jibu: Bora – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kutukana kisichostahiki kutukanywa. Hakina uendeshaji. Ni kutukana kisichostahiki kutukanywa. Kwa hiyo inamrejelea ambaye anaiongoza na kuiendesha (Subhaanahu wa Ta´ala). Ingawa kama inavyotambulika sivyo alivyokusudia mtukanaji. Hata hivyo ni utovu wa adabu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24209/الحكمة-من-النهي-عن-سب-الدهر
Imechapishwa: 13/09/2024
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-ikakatazwa-kutukana-zama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)