Swali: Wakati Khutbah ya ijumaa inaendelea kunakuwepo watoto wanaosumbua watu. Je, wazinduliwe au waashiriwe tu?
Jibu: Wale walioko karibu nao wawaashirie kunyamaza. Ishara inatosha.
Swali: Je, imamu ampe kazi mtu mmoja ya kuwatazama?
Jibu: Inafaa kwa imamu kuzungumza na kuwaambia watu wawanyamazishe. Hapana vibaya. Inafaa kwa imamu, Khatwiyb, peke yake, kuzungumza kutokana na manufaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliongea katika baadhi ya Khutbah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22720/حكم-الاشارة-للاطفال-بالسكوت-وقت-الخطبة
- Imechapishwa: 04/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)