Swali 328: Kidole kinatikiswa vipi ndani ya swalah katika Tashahhud?
Jibu: Kuna Hadiyth ya Waa-iyl bin Jariyr, ambaye amesimulia kuwa alimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa amekaa chini kwenye Tashahhud katika swalah, akasema:
“Nikamuona akikitikisa huku akiomba kwacho.”
Hivi ndivo alivokuwa akitikisa[1]. Haina maana ya kutikisa chini na juu. Hakuna Hadiyth zilizosema hivo kabisa. Kuhusu kutikisa mtu anatikisa kikiwa mahali pake. Vilevile imesihi kutoka kwa Imaam Ahmad kwamba amesema:
“Akitikise sana.”
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-lini-mtu-ataanza-kutikisa-kidole-katika-tashahhud/
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 124
- Imechapishwa: 29/07/2019
Swali 328: Kidole kinatikiswa vipi ndani ya swalah katika Tashahhud?
Jibu: Kuna Hadiyth ya Waa-iyl bin Jariyr, ambaye amesimulia kuwa alimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa amekaa chini kwenye Tashahhud katika swalah, akasema:
“Nikamuona akikitikisa huku akiomba kwacho.”
Hivi ndivo alivokuwa akitikisa[1]. Haina maana ya kutikisa chini na juu. Hakuna Hadiyth zilizosema hivo kabisa. Kuhusu kutikisa mtu anatikisa kikiwa mahali pake. Vilevile imesihi kutoka kwa Imaam Ahmad kwamba amesema:
“Akitikise sana.”
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-lini-mtu-ataanza-kutikisa-kidole-katika-tashahhud/
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 124
Imechapishwa: 29/07/2019
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kutikisa-kidole-kwenye-tashahhud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)