Swali: Baadhi ya magari yanakuwa na misalaba.
Jibu: Misalaba hiyo isuguliwe na kuondolewa pia.
Swali: Hata kwenye sofa pia?
Jibu: Kitu kinachokanyagwa jambo lake ni sahali. Lakini kama ni rahisi ausugue. Vinginevyo bora auondoe.
Swali: Ikiwa si rahisi hapati dhambi?
Jibu: Itwezwe ardhini. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akiona msalaba wowote isipokuwa anaukata.”
Bi maana anauvunja. Anaweza kuusugua msalaba huo na akaweka juu yake kitambara au kitu kingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22144/ماذا-يفعل-من-لديه-سيارة-فيها-صلبان
- Imechapishwa: 29/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)