Swali: Mimi nawaona baadhi ya waswaliji pindi wanapoinuka kutoka katika Rukuu´ basi wananyanyua mikono yao kana kwamba wanaomba du´aa. Je, kitendo chao hichi kinaafikiana na Sunnah?
Jibu: Sunnah kwa mswaliji ni yeye anyanyue mikono yake usawa wa mabega yake au usawa wa masikio yake wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam, wakati wa Rukuu´ na wakati wa kuinuka kutoka katika Rukuu´, wakati wa kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza na kwenda katika Rak´ah ya tatu na huku matumbo ya vidole yanaelekea upande wa Qiblah. Hii ndio Sunnah iliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/115)
- Imechapishwa: 23/10/2021
Swali: Mimi nawaona baadhi ya waswaliji pindi wanapoinuka kutoka katika Rukuu´ basi wananyanyua mikono yao kana kwamba wanaomba du´aa. Je, kitendo chao hichi kinaafikiana na Sunnah?
Jibu: Sunnah kwa mswaliji ni yeye anyanyue mikono yake usawa wa mabega yake au usawa wa masikio yake wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam, wakati wa Rukuu´ na wakati wa kuinuka kutoka katika Rukuu´, wakati wa kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza na kwenda katika Rak´ah ya tatu na huku matumbo ya vidole yanaelekea upande wa Qiblah. Hii ndio Sunnah iliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/115)
Imechapishwa: 23/10/2021
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuinua-mikono-wakati-wa-takbiyr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)