Swali: Inafaa kwa mtu ambaye yuko na mali isiyokubalika katika Shari´ah kuwapa nayo mafukara na kuchapisha vitabu na kaseti?
Jibu: Ndio. Ambaye yuko na pesa mbaya azitoe katika njia za kheri; kuwapa swadaqah mafukara au kuchapisha vitabu. Hapana neno.
Swali: Swadaqah hiyo inakubaliwa?
Jibu: Hapana, ni kwa njia ya kuitakasa dhimma yake na kupata baraka. Anapewa ujira kama swadaqah nzuri – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23135/حكم-التصرف-في-الاموال-غير-المشروعة
- Imechapishwa: 09/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)