Swali: Ni ipi maana ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah alimuumba Aadam kwa sura Yake.”?
Jibu: Kwa udhahiri wake. Dhamiri ya “kwa sura Yake” inarejea kwa Allaah. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
إِنَّا خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن نُّطْفَةٍ أَمْشَاجٍ نَّبْتَلِيهِ فَجَعَلْنَاهُ سَمِيعًا بَصِيرًا
“Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na tone la manii iliyochanganyika ili Tumjaribu, hivyo tukamjaalia mwenye kusikia na kuona.” (76:02)
Allaah alimuumba Aadam kwa sura Yake kutokamana na kwamba Aadam pia ana usikizi, uoni na sifa nyenginezo. Sifa hizi zinapatikana kwa Allaah na kwa viumbe vilevile. Lakini hata hivyo hakuna ufananizi wowote kati ya hizo mbili. Sifa za Muumba hazifanani na sifa za viumbe hata kama zinashirikiana katika maana na asli. Zinatofautiana:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.” (42:11)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-06_0.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Ni ipi maana ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah alimuumba Aadam kwa sura Yake.”?
Jibu: Kwa udhahiri wake. Dhamiri ya “kwa sura Yake” inarejea kwa Allaah. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
إِنَّا خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن نُّطْفَةٍ أَمْشَاجٍ نَّبْتَلِيهِ فَجَعَلْنَاهُ سَمِيعًا بَصِيرًا
“Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na tone la manii iliyochanganyika ili Tumjaribu, hivyo tukamjaalia mwenye kusikia na kuona.” (76:02)
Allaah alimuumba Aadam kwa sura Yake kutokamana na kwamba Aadam pia ana usikizi, uoni na sifa nyenginezo. Sifa hizi zinapatikana kwa Allaah na kwa viumbe vilevile. Lakini hata hivyo hakuna ufananizi wowote kati ya hizo mbili. Sifa za Muumba hazifanani na sifa za viumbe hata kama zinashirikiana katika maana na asli. Zinatofautiana:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.” (42:11)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-06_0.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivyo-allaah-alimuumba-aadam-kwa-sura-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)