Swali: Ni wajibu kwa muislamu kuchukia kufuru ya kafiri au hata kafiri mwenyewe?
Jibu: Ni wajibu kwake kumchukia kafiri na kufuru; yote mawili. Kufuru inatakiwa kuchukiwa na kafiri mwenyewe kwa sababu ni adui wa Allaah:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ تُلْقُونَ إِلَيْهِم بِالْمَوَدَّةِ وَقَدْ كَفَرُوا بِمَا جَاءَكُم مِّنَ الْحَقِّ يُخْرِجُونَ الرَّسُولَ وَإِيَّاكُمْ ۙ أَن تُؤْمِنُوا بِاللَّـهِ رَبِّكُمْ
“Enyi mlioamini! Msimchukue adui Wangu na adui wenu kuwa marafiki mkiwapelekea mapenzi na hali wamekwishakanusha haki iliyokujieni. Wanamtoa kwa kumfukuza Mtume pamoja na nyinyi kwa vile mmemuamini Allaah Mola wenu.” (60:01)
Tunawachukia makafiri na tunachukia dini yao. Asiyewachukia makafiri hana kupenda na kuchukia kwa ajili ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-06_0.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Ni wajibu kwa muislamu kuchukia kufuru ya kafiri au hata kafiri mwenyewe?
Jibu: Ni wajibu kwake kumchukia kafiri na kufuru; yote mawili. Kufuru inatakiwa kuchukiwa na kafiri mwenyewe kwa sababu ni adui wa Allaah:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ تُلْقُونَ إِلَيْهِم بِالْمَوَدَّةِ وَقَدْ كَفَرُوا بِمَا جَاءَكُم مِّنَ الْحَقِّ يُخْرِجُونَ الرَّسُولَ وَإِيَّاكُمْ ۙ أَن تُؤْمِنُوا بِاللَّـهِ رَبِّكُمْ
“Enyi mlioamini! Msimchukue adui Wangu na adui wenu kuwa marafiki mkiwapelekea mapenzi na hali wamekwishakanusha haki iliyokujieni. Wanamtoa kwa kumfukuza Mtume pamoja na nyinyi kwa vile mmemuamini Allaah Mola wenu.” (60:01)
Tunawachukia makafiri na tunachukia dini yao. Asiyewachukia makafiri hana kupenda na kuchukia kwa ajili ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-06_0.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-waislamu-wanawachukia-makafiri-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)