Swali: Je, inafaa kuomba kwa uso wa Allaah?
Jibu: Haitakiwi kuomba kwa uso wa Allaah wala kuomba kwa ajili ya Allaah, isipokuwa tu wakati wa haja.
Swali: Vipi kuhusu kumjibu mtu huyo? Mtu akiomba kwa uso wa Allaah inatakiwa kumwitikia?
Jibu: Akiomba kwa uso wa Allaah apewe. Hilo ni kutokana na Hadiyth isemayo:
“Mwenye kuomba kwa uso wa Allaah mpeni.”
Hapo ni pale ambapo kuna wepesi wa kufanya hivo. Hata hivyo mtu huyo anatakiwa kufunzwa kwamba mara nyingine haitakiwi kuomba kwa uso wa Allaah. Ashauriwe kwamba asiombe kwa uso wa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23233/ما-حكم-السوال-بوجه-الله-تعالى
- Imechapishwa: 03/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)