Nilimsikia babangu na Abu Zur´ah wakiamrisha kuwasusa Ahl-ul-Bid´ah wapindaji. Walikuwa wakali katika hilo.
Walikuwa wakikemea kutunga vitabu kwa maoni pasi na mapokezi.
Walikuwa wakikataza kukaa na watu wa falsafa na kusoma vitabu vyao na kusema:
“Watu wa falsafa kamwe hawatofaulu.”
Na mimi nasema vivyo hivyo.
Abu ´Aliy bin Hubaysh al-Muqriy amesema:
“Na mimi nasema vivyo hivyo.”
Shaykh wetu Ibn-ul-Mudhaffar amesema:
“Na mimi nasema vivyo hivyo.”
Shaykh wetu amesema:
“Hali kadhalika ndivyo ninavyosema.”
- Muhusika: Imaam Abu Muhammad ´Abdur-Rahmaan bin Haatim ar-Raaziy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ur-Raaziyayn, uk. 223
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)