Swali: Mtu mwenye kujiunga na makundi ambayo sio Ahl-us-Sunnah na anajua kosa lao anazingatiwa ni miongoni mwa wale waliowachukua watawa wao na wanazuoni wa kiyahudi kuwa ni miungu badala ya Allaah?
Jibu: Ndio. Ni kichwa cha wale waliowachukua watawa wao na wanazuoni wa kiyahudi kuwa ni miungu badala ya Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid%207%20-%20… Toleo la: 22.05.2015
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)