Swali: Mamangu ananikatalia kwenda kuwatembelea baadhi ya ndugu zangu na ananambia kuwa nikienda kuwatembelea hatonisamehe. Nifanye nini?
Jibu: Usimtii katika hili. Nenda ukawatembelee ndugu zako na uwaunge ndugu zako. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Mamangu ananikatalia kwenda kuwatembelea baadhi ya ndugu zangu na ananambia kuwa nikienda kuwatembelea hatonisamehe. Nifanye nini?
Jibu: Usimtii katika hili. Nenda ukawatembelee ndugu zako na uwaunge ndugu zako. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mzazi-hataki-mtoto-aende-kuwatembelea-nduguze/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)