Swali: Ni ipi hukumu ya kujumuisha kati ya Takbiyrat-ul-Ihraam na Rukuu´ katika swalah?
Jibu: Piga Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama na usinuie ikawa ndio ya Rukuu´. Leta Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama kwa sababu ni nguzo miongoni mwa nguzo za swalah.
Kuhusiana na Takbiyr ya kwenda kwenye Rukuu´ katika hali hii sio wajibu. Ukitaka utaileta na usipotaka hutoileta.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kujumuisha kati ya Takbiyrat-ul-Ihraam na Rukuu´ katika swalah?
Jibu: Piga Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama na usinuie ikawa ndio ya Rukuu´. Leta Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama kwa sababu ni nguzo miongoni mwa nguzo za swalah.
Kuhusiana na Takbiyr ya kwenda kwenye Rukuu´ katika hali hii sio wajibu. Ukitaka utaileta na usipotaka hutoileta.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuchanganya-takbiyrat-ul-ihraam-na-ya-kwenda-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)