Swali: Wakati nilipokuwa kijana nilichukua pesa za watu kwa dhuluma. Nifanye nini kwa sababu siwajui watu hao?
Jibu: Ikiwa huwajui na wala huwezi kuwafikishia pesa zao, zitoe swadaqah kwa lengo thawabu ziwaendee wenye nazo. Kazi yako unatakiwa kujikwamua na pesa hizo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 04/03/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket