Swali: Kuna mtu ana maradhi ya kutokwa hovyo na mkono na hivyo anatakiwa kutawadha kila wakati anapotaka kuswali. Ni lini anatakiwa kutawadha kwa ajili ya swalah ya ijumaa?
Jibu: Pale anapotaka kuswali. Atawadhe na kuswali pale kunapokimiwa swalah. Hili ni sawa kwa ajili ya swalah ya ijumaa na swalah zingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Kuna mtu ana maradhi ya kutokwa hovyo na mkono na hivyo anatakiwa kutawadha kila wakati anapotaka kuswali. Ni lini anatakiwa kutawadha kwa ajili ya swalah ya ijumaa?
Jibu: Pale anapotaka kuswali. Atawadhe na kuswali pale kunapokimiwa swalah. Hili ni sawa kwa ajili ya swalah ya ijumaa na swalah zingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/mwenye-maradhi-ya-mkojo-anatawadha-lini-ijumaa/