Swali: Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimbusu al-Hasan, al-Husayn na Faatwimah kwenye vichwa vyao au sehemu yoyote usoni? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumsimamia Faatwimah kuna dalili katika tendo hili ya kujuzu kumsimamia mtu mwenye kuingia?
Jibu: Ni sawa kumsimamia kwa ajili ya kumsalimia. Mwenye kuingia unaweza kumsimamia kwa ajili ya kumsalimia. Ama kumsimamia kwa ajili ya kumuheshimu haijuzu.
Kuhusiana na kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumbusu al-Hasan na al-Husayn, mimi sijui lolote kuhusiana na hili.
Kwa hali yoyote kubusiana haiwi midomoni. Hili ni jambo maalum kwa wanandoa. Mbali na wanandoa kubusiana inakuwa kichwani, baina ya macho na kwenye paji la uso.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimbusu al-Hasan, al-Husayn na Faatwimah kwenye vichwa vyao au sehemu yoyote usoni? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumsimamia Faatwimah kuna dalili katika tendo hili ya kujuzu kumsimamia mtu mwenye kuingia?
Jibu: Ni sawa kumsimamia kwa ajili ya kumsalimia. Mwenye kuingia unaweza kumsimamia kwa ajili ya kumsalimia. Ama kumsimamia kwa ajili ya kumuheshimu haijuzu.
Kuhusiana na kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumbusu al-Hasan na al-Husayn, mimi sijui lolote kuhusiana na hili.
Kwa hali yoyote kubusiana haiwi midomoni. Hili ni jambo maalum kwa wanandoa. Mbali na wanandoa kubusiana inakuwa kichwani, baina ya macho na kwenye paji la uso.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/mahala-pa-kuwabusu-watoto__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)