Swali: Ni ipi hukumu ya Allaah kwa yule anayeyachinjia makaburi, anayaomba uokozi na msaada wakati wa manufaa na madhara?
Jibu: Kuyachinjia makaburi ni shirki kubwa. Mwenye kufanya hivo amelaaniwa. ´Aliy (Radhiya Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kula katika vichinjwa hivi?
Jibu: Mwenye kula katika vichinjwa hivi anapata dhambi. Amesema (Ta´ala):
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّـهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ
“Mmeharamishiwa nyamafu [mzoga], na damu, na nyama ya nguruwe, na kilichotajiwa katika kuchinjwa kwake asiyekuwa Allaah. Na [mnyama aliyeuawa] kwa kunyongwa, na [aliyekufa kwa] kupigwa, na kwa kuporomoka, na kwa kupigwa pembe [na mnyama mwengine], na aliyeliwa na mnyama mwitu [akafa] – isipokuwa mliyewahi kumchinja.” (05:03)
- Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/124-125)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya Allaah kwa yule anayeyachinjia makaburi, anayaomba uokozi na msaada wakati wa manufaa na madhara?
Jibu: Kuyachinjia makaburi ni shirki kubwa. Mwenye kufanya hivo amelaaniwa. ´Aliy (Radhiya Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kula katika vichinjwa hivi?
Jibu: Mwenye kula katika vichinjwa hivi anapata dhambi. Amesema (Ta´ala):
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّـهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ
“Mmeharamishiwa nyamafu [mzoga], na damu, na nyama ya nguruwe, na kilichotajiwa katika kuchinjwa kwake asiyekuwa Allaah. Na [mnyama aliyeuawa] kwa kunyongwa, na [aliyekufa kwa] kupigwa, na kwa kuporomoka, na kwa kupigwa pembe [na mnyama mwengine], na aliyeliwa na mnyama mwitu [akafa] – isipokuwa mliyewahi kumchinja.” (05:03)
Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/124-125)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/mwenye-kumchinjia-asiyekuwa-allaah-amelaaniwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)