Swali: Je, inafaa kwa mtu kusikiliza Qur-aan akiwa na janaba?
Jibu: Inafaa kwake kusikiliza Qur-aan. Lakini asiisome mpaka aoge. Lakini kusikiliza tu hapana vibaya. Lakini asiguse msahafu na wala asisome isipokuwa baada ya kuoga.
Jibu: Hata kama ni nyuradi?
Jibu: Nyuradi haina neno. Lakini isiwe nyuradi kwa aina ya Qur-aan. Iwe nyuradi kwa aina kama ya ”Subhaan Allaah” na ”Laa ilaaha illa Allaah”.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22241/ما-حكم-سماع-القران-للجنب
- Imechapishwa: 19/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)