Swali: Baadhi ya wanaume huswali katikati ya wanawake Haram. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haitakikani.. lakini akiwa ni mwanaume mmoja na hana mwanaume mwenzake haisihi swalah yake… ili kusitokee fitina kwa pande zote.
Swali: Je, anayeona kuwa ni sahihi swalah ya mwanaume mmoja anayeswali nyuma ya wanawake anahitaji kutoa dalili? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefanya safu mbaya zaidi kwa wanawake ni zile za mbelembele.
Jibu: Ikiwa ni mwanaume mmoja pekee anayeswali peke yake nyuma ya wanawake, swalah yake si sahihi. Ili swala hiyo iwe sahihi, wanahitaji kuwa wanaume wasiopungua wawili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24920/حكم-صلاة-الرجال-في-الحرم-بين-النساء
- Imechapishwa: 04/01/2025
Swali: Baadhi ya wanaume huswali katikati ya wanawake Haram. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haitakikani.. lakini akiwa ni mwanaume mmoja na hana mwanaume mwenzake haisihi swalah yake… ili kusitokee fitina kwa pande zote.
Swali: Je, anayeona kuwa ni sahihi swalah ya mwanaume mmoja anayeswali nyuma ya wanawake anahitaji kutoa dalili? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefanya safu mbaya zaidi kwa wanawake ni zile za mbelembele.
Jibu: Ikiwa ni mwanaume mmoja pekee anayeswali peke yake nyuma ya wanawake, swalah yake si sahihi. Ili swala hiyo iwe sahihi, wanahitaji kuwa wanaume wasiopungua wawili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24920/حكم-صلاة-الرجال-في-الحرم-بين-النساء
Imechapishwa: 04/01/2025
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kuswali-katikati-ya-wanawake-msikiti-wa-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)