Swali: Wanawake kusimama mbele ya safu za wanaume khaswa katika Haram mbili?
Jibu: Wanawake wanapaswa kusimama kwa pembeni. Katika msikiti wa Makkah na Madiynah wanatakiwa kuwepo sehemu ya kando ili wanaume wasiwe nyuma yao.
Swali: Je, mwanaume anaweza kusimama nyuma ya mwanamke ikiwa hapati nafasi nyingine?
Jibu: Haitakikani kwa mwanaume kusimama nyuma ya mwanamke, ingawa swalah yake ni sahihi. Hata hivyo haitakikani kufanya hivo. Kinachotakiwa ni kufuata Sunnah na kuepuka kuswali nyuma ya wanawake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24919/حكم-تقدم-النساء-على-صفوف-الرجال
- Imechapishwa: 04/01/2025
Swali: Wanawake kusimama mbele ya safu za wanaume khaswa katika Haram mbili?
Jibu: Wanawake wanapaswa kusimama kwa pembeni. Katika msikiti wa Makkah na Madiynah wanatakiwa kuwepo sehemu ya kando ili wanaume wasiwe nyuma yao.
Swali: Je, mwanaume anaweza kusimama nyuma ya mwanamke ikiwa hapati nafasi nyingine?
Jibu: Haitakikani kwa mwanaume kusimama nyuma ya mwanamke, ingawa swalah yake ni sahihi. Hata hivyo haitakikani kufanya hivo. Kinachotakiwa ni kufuata Sunnah na kuepuka kuswali nyuma ya wanawake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24919/حكم-تقدم-النساء-على-صفوف-الرجال
Imechapishwa: 04/01/2025
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-wanaume-walioswali-nyuma-ya-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)