Swali: Ikiwa imamu hakusimama mbele ya safu na badala yake akaswali katikati ya safu?
Jibu: Swalah yake ni sahihi, lakini ameenda kinyume na Sunnah. Isipokuwa ikiwa wakati wa haja, kama vile ukosefu wa nafasi, ambapo waumini watapanga safu pamoja naye.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24917/حكم-صلاة-الامام-وسط-الصف-عند-الحاجة
- Imechapishwa: 04/01/2025
Swali: Ikiwa imamu hakusimama mbele ya safu na badala yake akaswali katikati ya safu?
Jibu: Swalah yake ni sahihi, lakini ameenda kinyume na Sunnah. Isipokuwa ikiwa wakati wa haja, kama vile ukosefu wa nafasi, ambapo waumini watapanga safu pamoja naye.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24917/حكم-صلاة-الامام-وسط-الصف-عند-الحاجة
Imechapishwa: 04/01/2025
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-ni-sawa-kwa-imamu-kusimama-katikati-ya-safu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)