Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa yeye ametalikiwa talaka ya tatu. Je, inajuzu kwake kutoka na familia yake kwa ajili ya haja zake na kwenda kutembea au ni lazima kwake kubaki nyumbani?
Jibu: Hapana. Talaka ya tatu [ya mume] aliehai, habaki nyumbani kwake. Anaenda katika haja zake. Hili linahusiana na aliyefiliwa, yeye ndiye anatakiwa kubaki nyumbani. Ama talaka ya tatu ya mwanaume aliehai, miongoni mwa sharti za eda yake sio kubakia nyumbani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-17051435.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa yeye ametalikiwa talaka ya tatu. Je, inajuzu kwake kutoka na familia yake kwa ajili ya haja zake na kwenda kutembea au ni lazima kwake kubaki nyumbani?
Jibu: Hapana. Talaka ya tatu [ya mume] aliehai, habaki nyumbani kwake. Anaenda katika haja zake. Hili linahusiana na aliyefiliwa, yeye ndiye anatakiwa kubaki nyumbani. Ama talaka ya tatu ya mwanaume aliehai, miongoni mwa sharti za eda yake sio kubakia nyumbani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-17051435.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwenye-talaka-ya-tatu-kutoka-nyumbani/