Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupaka rangi nyusi zake?

Jibu: Ni haramu. Haijuzu. Nyusi zinaachwa kama zilivyo. Hazipakwi rangi, hazichongwi, hazipunguzwi wala hazinyolewi. Zinaachwa kama alivyoziumba Allaah. Hazitakiwi kufanywa kitu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
  • Imechapishwa: 29/04/2023