Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuonja chakula kwa ncha ya ulimi ili kujua ni viungo gani vinavyokosekana?
Jibu: Ni sawa – Allaah akitaka. Hakishuki kwenye koo shingoni.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 78-79
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuonja chakula kwa ncha ya ulimi ili kujua ni viungo gani vinavyokosekana?
Jibu: Ni sawa – Allaah akitaka. Hakishuki kwenye koo shingoni.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 78-79
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuonja-chakula-wakati-wa-swawm/