Swali: Adhaana na Iqaamah imewekwa katika Shari´ah kwa wanawake?
Jibu: Wanawake hawakuwekewa katika Shari´ah adhaana wala Iqaamah. Adhaana na Iqaamah ni kitu maalum kwa wanamme. Ama kuhusu mwanamke anatakiwa kuswali pasi na adhaana wala Iqaamah. Kwa msemo mwingine asiadhini na wala asikimu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 20/12/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket