Inapendekezwa kwa mababa ambao wanataka kuwaoza wasichana wao amtafutie mume mzuri. Mwanamke anataka kile ambacho mwanaume anataka. az-Zubayr bin al-‘Awaam (Radhiya Allaahu ´anhu) kaeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Mnawaoza mabanati zenu kwa wanaume wabaya na waasi. Hakika wanataka yale mnayotaka.”[1]
‘Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Msimuoze mwanamke kwa mwanaume mbaya na muasi. Wanatamani yale mnayotamani.”
[1] ´Abdur-Razzaaq i ”al-Muswannaf” (10339).
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin al-Jawziy al-Hanbaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-un-Nisaa’, uk. 103
- Imechapishwa: 21/09/2020
Inapendekezwa kwa mababa ambao wanataka kuwaoza wasichana wao amtafutie mume mzuri. Mwanamke anataka kile ambacho mwanaume anataka. az-Zubayr bin al-‘Awaam (Radhiya Allaahu ´anhu) kaeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Mnawaoza mabanati zenu kwa wanaume wabaya na waasi. Hakika wanataka yale mnayotaka.”[1]
‘Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Msimuoze mwanamke kwa mwanaume mbaya na muasi. Wanatamani yale mnayotamani.”
[1] ´Abdur-Razzaaq i ”al-Muswannaf” (10339).
Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin al-Jawziy al-Hanbaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-un-Nisaa’, uk. 103
Imechapishwa: 21/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aolewe-na-mwanaume-mzuri/