Swali: Kuna mashiko kuadabisha kwa kutoa talaka?
Jibu: Hapana. Kutia adabu inakuwa kwa maneno, nasaha na kipigo chepesi. Kuadabisha kwa kutaliki kunapelekea kutengana kabisa; anaacha mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu mpaka anatengana naye kabisa. Anatakiwa amtie adabu kwa maneno mazuri, nasaha, maelekezo na kipigo chepesi. Amesema (Ta´ala):
وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ
“Na wale ambao mnachelea uasi wao wa ndoa, basi wanasihini na wahameni katika malazi na wapigeni.”[1]
Huku ndio kutia adabu. Vilevile anaweza kumsusa kwa siku moja, mbili, tatu au amkate zaidi ya siku hizo ikihitajika.
[1] 04:34
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swali: Kuna mashiko kuadabisha kwa kutoa talaka? Jibu: Hapana. Kutia adabu inakuwa kwa maneno, nasaha na kipigo chepesi. Kuadabisha kwa kutaliki kunapelekea kutengana kabisa; anaacha mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu mpaka anatengana naye kabisa. Anatakiwa amtie adabu kwa maneno mazuri, nasaha, maelekezo na kipigo chepesi. Amesema (Ta´ala): وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ “Na wale ambao mnachelea uasi wao wa ndoa, basi wanasihini na wahameni katika malazi na wapigeni.”[1] Huku ndio kutia adabu. Vilevile anaweza kumsusa kwa siku moja, mbili, tatu au amkate zaidi ya siku hizo ikihitajika. [1] 04:34
- Imechapishwa: 24/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket