Swali: Maneno ya Ibn Hajar aliposema kwamba ambaye atakuwa mbali na wakeze kisha akarejea basi ataanza na amtakaye katika wao na halazimiki kuanzia pale alipoishilia…
Jibu: Hapa ni katika kuanza kusalimia. Jambo ni lenye wasaa. Kuanza kutoa salamu jambo lake ni lenye wasaa. Kuhusu kuwagawia zamu inakuwa kwa mpangilio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23876/بمن-يبدا-من-غاب-عن-زوجاته-ثم-حضر
- Imechapishwa: 24/05/2024
Swali: Maneno ya Ibn Hajar aliposema kwamba ambaye atakuwa mbali na wakeze kisha akarejea basi ataanza na amtakaye katika wao na halazimiki kuanzia pale alipoishilia…
Jibu: Hapa ni katika kuanza kusalimia. Jambo ni lenye wasaa. Kuanza kutoa salamu jambo lake ni lenye wasaa. Kuhusu kuwagawia zamu inakuwa kwa mpangilio.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23876/بمن-يبدا-من-غاب-عن-زوجاته-ثم-حضر
Imechapishwa: 24/05/2024
https://firqatunnajia.com/zamu-kwa-aliye-na-wake-wengi-anaporudi-kutoka-safari/