Swali: Nikiweka nadhiri kwa kuachia na sikuanisha siku maalum?
Jibu: Inawajibika papohapo. Anayeweka nadhiri kwa ajili ya Allaah kama vile kutoa swadaqah au kufunga, msingi ni uharaka. Msingi katika mambo ya uwajibu ni uharaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23878/حكم-النذر-المطلق-دون-تحديد-يوم-معين
- Imechapishwa: 24/05/2024
Swali: Nikiweka nadhiri kwa kuachia na sikuanisha siku maalum?
Jibu: Inawajibika papohapo. Anayeweka nadhiri kwa ajili ya Allaah kama vile kutoa swadaqah au kufunga, msingi ni uharaka. Msingi katika mambo ya uwajibu ni uharaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23878/حكم-النذر-المطلق-دون-تحديد-يوم-معين
Imechapishwa: 24/05/2024
https://firqatunnajia.com/ni-lini-inatekelezwa-nadhiri-pale-mtu-hakulenga-siku-maalum/