Swali: Inafaa kwa mzungu ambaye hakusoma chini ya wanachuoni na wala hatambuliki kuwa na elimu awe mmoja wa wanakamati wa Da´wah ya Kiislamu?
Jibu: Kamati jambo lake ni jepesi. Hata hivyo asifundishe na wala asitoe fatwa midhali hakusoma chini ya wanachuoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 13/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)