Swali: Inafaa kwa mzungu ambaye hakusoma chini ya wanachuoni na wala hatambuliki kuwa na elimu awe mmoja wa wanakamati wa Da´wah ya Kiislamu?
Jibu: Kamati jambo lake ni jepesi. Hata hivyo asifundishe na wala asitoe fatwa midhali hakusoma chini ya wanachuoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 13/05/2019
Swali: Inafaa kwa mzungu ambaye hakusoma chini ya wanachuoni na wala hatambuliki kuwa na elimu awe mmoja wa wanakamati wa Da´wah ya Kiislamu?
Jibu: Kamati jambo lake ni jepesi. Hata hivyo asifundishe na wala asitoe fatwa midhali hakusoma chini ya wanachuoni.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
Imechapishwa: 13/05/2019
https://firqatunnajia.com/mwanakamati-wa-kitengo-cha-dawah-ambaye-hakusoma/