Swali: Inajuzu kwa mwanamke kupanda peke yake na dereva kwenda chuo kikuu ikiwa hakupata mwingine wa kupanda naye?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu kwake. Kupanda peke yake akiwa na dereva asiwe Mahram wake. Hii ni faragha iliyoharamishwa. Haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 27/11/2016
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kupanda peke yake na dereva kwenda chuo kikuu ikiwa hakupata mwingine wa kupanda naye?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu kwake. Kupanda peke yake akiwa na dereva asiwe Mahram wake. Hii ni faragha iliyoharamishwa. Haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 27/11/2016
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-mwanamke-kupanda-peke-yake-na-dereva/