Swali: Kuna mwanafunzi anasoma vitabu vya falsafa ili aweze kujadiliana na makafiri na kuwaraddi. Ni ipi hukumu ya kitendo chake hichi?
Jibu: Kitendo hichi ni kosa. Asome Qur-aan, Sunnah na maneno ya wanachuoni. Ni kwa nini anasoma vitabu vya wanafalsafa? Hili ni kosa bila ya shaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)