Swali: Ni ipi hukumu ya baba kuwagawia watoto mirathi yake wakati bado yuko hai ili mke wake asimrithi?
Jibu: Haijuzu kumpokonya mirathi yake. Ikiwa hili ndio lengo haijuzu. Pamoja na hivyo ni sawa akaigawa mirathi yake kwa warithi kwa mujibu wa Shari´ah. Hata hivyo haijuzu kwake kumpokonya mke mirathi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket