Swali: Kuna mtu ameoa na hajataka kupata watoto kwa sasa. Je, inajuzu kwake kufanya al-´Azl [kuchopoa kabla ya kumwaga] kwa mkewe?
Jibu: Haijuzu ikiwa kama anachukia watoto. Ama ikiwa anafanya hili kwa sababu, pengine mwanamke ni mgonjwa na hawezi kushika mimba kutokana na maradhi yake, ni sawa kufanya al-´Azl kwa sababu inayoruhusiwa. Ama kuchukia watoto ni jambo lisilojuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket